Tuesday, January 28, 2014

matembezi siku ya christimas kwenye wodi ya watoto wachanga hospitari ya mkoa IRINGA,


wafanyakazi wa radio country fm iringa wakijiandaa na huduma ya ugawaji maziwa kwa wagonjwa.hospitari ya mkoa..


nikiwa na moja kati ya watoto wachanga walio zaliwa siku ya christmass.pembeni ni mama wa mtoto..


radio country fm one community and one familia..


Monday, December 30, 2013

Photo: Hiki ni kifaa kinachotumia kumpa joto mtoto,lakini sio watoto wote ila kwa wale wanaozaliwa njiti.
Hiki ni moja kati ya kifaa kinachotumika kuwaongezea watoto joto.lakini kwa wale wanao zaliwa chini ya uzito,(NJITI)


matembezi hospitali ya mkoa iringa.

Nilipata bahati na fursa ya kuwatembelea kinamama waliojifungua siku ya sikukuu.niliweza kujifunza mengi sana kama ifuatavyo,

Nilidhamilia kuwatembelea watoto wachanga waliozaliwa siku ya mkesha na sikukuu,lakini sikuishia hapo niliweza kuwatembelea wagonjwa wa TB pia watoto wagonjwa lakini sikuishia hapo niliingia mpaka chumba cha watoto njiti na ni bahati kwani hairuhusiwi mtu kuingia kwenye vyumba hivyo.
kutokana na maelezo takwimu iliyo tolewa na muuguzi wa zamu ni kwamba hakukutokea kifo cha mama wala mtoto wote walijifungua salama.
Idadi ya watoto walio zaliwa takribani 26 .